Please enter your email:

Jaza nafasi wazi

Mlango…1..mwalimu…2…Kiswahili…3…alikuwa wa…4…kuingia katika darasa…5…la tano. Kipindi….6…asubuhi kilikuwa….7… . Alitusabahi kama..8.. desturi…9… Baada ya shughuli ndogo ndogo za hapa na pale…10…darasani, alianza  kutuelezea …11… kuandika hati safi …12… darasani,…13… pia maishani…14… . Kisha alituita…15…ubaoni tukaandika neno HATT.

NUMBARI 1.

 
 
 
 

2.

 
 
 
 

3.

 
 
 
 

4.

 
 
 
 

5.

 
 
 
 

6.

 
 
 
 

7.

 
 
 
 

8.

 
 
 
 

9.

 
 
 
 

10.

 
 
 
 

11.

 
 
 
 

12.

 
 
 
 

13.

 
 
 
 

14.

 
 
 
 

15.

 
 
 
 

Chagua jibu sahihi

16. “Sango hatakuja.” Sentensi hii ni ya wakati upi? 

 

 
 
 
 

17. Mwalimu alituletea habari

 
 
 
 

18. Mkutano ulihudhuriwa na watu wengi sana. Yaani wake…… wanaume.

 
 
 
 

19. Tumia alama sahihi ya uakifisho. “Kumbe Juma ni mwizi

 
 
 
 

20. Tumia Iciashiria kisisitizi kujaza pengo.”Nyavu……. hizo ndizo zangu.”

 
 
 
 

21. Bonde la ufa: kwa wingi

 
 
 
 

22. kifupi zaidi huitwambilikimo.

 
 
 
 

23. Utiriri, kereng’ ende, kiroboto na mavu kwa jina mojani

 
 
 
 

24. Watu walitoka uwanjani

 
 
 
 

25. Vitabu vyetu……. nyumbani.

 
 
 
 

Tumia “amba” kukamilisha sentensi zifuatazo.

26. Mkeka……. umenunuliwa ni mzuri.

 
 
 
 

27. Kuku…… walikufa ni wa babu.

 
 
 
 

28. Kuta….. zimebomoka zitarekebishwa

 
 
 
 

29. Kuimba…… nilikusikia ni kuzuri

 
 
 
 

30. Mambo……… tunayasikia ni mabaya.

 
 
 
 

Soma habari hii kisha u’ibu maswali 31-40.

Vidinbwi vya wilaya vimebaki kama visiwa na wakazi wote hawawezi kuondoka kwenda mahali popote kwa sababu ya kuzingirwa na mafuriko. Tangu mvua kubwa ianze kunyesha sehemu zote, wananchi hawajapokea misaada yoyote ya usafiri, vyakula wala dawa za
kujikinga na kujitibu kutokana na magonjwa kama vile kichocho, malaria, homy ya matumbo na kuhara. Kwa muda mrefu sana mvua kubwa imekuwa ikinyesha katika magatuzi yote ya nchi yetu.Kulingana na maelezo ya wataalam wa hali ya mazingira, rnafuriko hay° yam.esababishwa na hatari za icuharibu mazingira kote nchini. Watu wanakata miti ovyo ovyo na kulima kila sehemu. Hawajui kwamba mizizi ya niiti hiyo ndiyo inayoshikilia udongo na kuzuia mmomonyoko. Pia watu wengine wanalima hadi kando kando ya mito na kusababisha kuwapo kwa udongo laini karibu na kingo za into.Tatizo jingine ni kujenga kila mahali bila kuyajali mazingira. Wakati umefika ambapo lazima tuyatunze mazingira vizuri la sivyo, majanga yatakuwa mengi. Na jangani jangamizi huangamiza.
31.” vimebaki kama visiwa kwa sababu?”

 
 
 
 

32. Tangu mvua ianze kunyesha

 
 
 
 

33. Mvua kubwa imekuwa ikinyesha kwenye

 
 
 
 

34. Wataalarn wa mazingira wanasema

 
 
 
 

35. Mizizi ya miti

 
 
 
 

36. Tunaambiwa kwamba watu wengine wanalima

 
 
 
 

37. Tuyatunze mazingira iii

 
 
 
 

38. Mara nyingi mafuriko hutokea nyakati za

 
 
 
 

39. Katika taarifa hii neno “wakazi” lina maana ya watu ambao

 
 
 
 

40. Taarifa hii ni kuhusu janga la .

 
 
 
 

Soma kisa kifuatacho kisha uiibu maswall 41-50.
Ulevi una vituko vyake. Sugu na Sungu walikuwa na mazoea ya kunywa pombe pamoja. Sugu alikuwa mlevi kuliko Sungu. Lakini ulevi ni ulevi tu hates ukinywa kidogo wewe ni mlevi tu.
Siku moja Sungu alikunywa pombe yake akamaliza. Akasema, “Rafild yangu Sugu, rnimi ninaenda nyumbani, watoto wangu wapo nyumbani wamefunga shule. Naenda nikakae nao iii tuongee!” Aliondoka saa mbili usiku. Alipokuwa akienda alipitia kwenye kichochoro
cha kvtikati ya mahali penye makaburi. Bahati mbaya Sungu aliteleza akatumbukia ndani ya kaburi lililokuwa wazi. Lilichimbwa iii kumzikia maiti kesho yake. Alipojaribu kutoka alishindwa. Ujanja ukaisha na ulevi ukatoweka..Usiku saa taro, Sugu naye alianza mwendo kuelekea
nyumbani. Usiku saa tano, Sugu naye alianza mwendo kuelekea nyumbani. Alilewa, alipitia kichochoro cha makaburi akiimba nyimbo za ulevi. Kufika pale penye kaburi wazi, alitumbukia ndani kwa kishindo. “Kub!” Alishtuka sana aliporawangukiamtu maiti labda. Pombe ikamtoka alcilini. Alijaribu kutoka iii asikae na maiti yule, lakini alishindwa. Akasikia sauti ikisema, “Usijisumbue ndugu yangu, hata mimi nimeshindwa kutoka. Mimi na wewe leo sore tu. maiti!


41. Sugu na Sungu walizoea

 
 
 
 

42. Siku moja Sungu

 
 
 
 

43. Ni watoto gani waliofunga shule?

 
 
 
 

44. Sungu aliondoka gengeni saa mbili iii aende wapi?

 
 
 
 

45. Sungu alipoteleza na kutumbukia kaburini

 
 
 
 

46. Kaburi lililokuwa wazi lilikuwa la kumzikia

 
 
 
 

47. Kwa nini Sugu alishtuka alipotumbukia kaburini?

 
 
 
 

48. Sauti ambayo Sugu aliisikia kaburini ilikuwaya

 
 
 
 

49. Mwishowe kwa maoni yako, unadhani vipi?

 
 
 
 

50. Kichwa kisichofaa habari hii ni

 
 
 
 

Question 1 of 50