STD 8 KISWAHILI

Please enter your email:

Soma vifunzu vifuatavpo, vina maswali 1 had! 15. Kwa kila nafasi umepewa_maiibu manne.

Nidhamu au….1….ni jambo….2….na hususan kwa mwanafunzi ambaye….3….kuendelea mbele na masomo yake…..4….na….5…wa siku hizi wameingiwa na kasumba ya wazungu kutokana na yale wanayoona kwenye….6….na kusikiliza kwenye redio. Wanafunzi wote wakumbuke kuwa mwacha.

Majibu.

1.

 
 
 
 

2.

 
 
 
 

3.

 
 
 
 

4,

 
 
 
 

5.

 
 
 
 

6.

 
 
 
 

7.

 
 
 
 

Usirudi kabla hujatembelea kusini….8….Pwani. Utaabiri kivuko cha Likoni. Ukifika ng’ambo ya pill, utaanza kuona tamaduni….9….Pwani. Nvumba zime ….10….kwa ….11…. ya minazi. Huwezikuona kufuli….12….mlangoni kwani wote ni ndugu.. Aidha utaona vyakula vya ….13…. . Wao ni….14….wa mapishi. Wanajua,,,,15….aina mbalimbali za vyakula wakakuacha ukiramba vidole.

MAJIBU.

8.

 
 
 
 

9.

 
 
 
 

10.

 
 
 
 

11.

 
 
 
 

12.

 
 
 
 

13.

 
 
 
 

14.

 
 
 
 

15.

 
 
 
 

Kutoka swali 16 mpaka 30, chagua fibu Hullo sahihi.
16. Andika wingi wa sentensi ifuatayo.
Mweledi alikunywa uji kisha akatapika.

 
 
 
 

 

17. Chagua kiashiria katika sentensi hii:
Dukani pake ndipia alipomwona mgeni yule.

 

 
 
 
 

18. Nomino kiumbe iko katika ngeli gani?

 
 
 
 

 

19. Chagua methali iliyo na mshabaha na:
Mnyonyore haunukii hupendeza mauaye.

 

 
 
 
 

 

20. Mtu anapopatwa na msiba hupatiwa mkona wa

 

 
 
 
 

 

21. Chagua nomino iliyoambatanishwa sahihi na amali yake.

 

 
 
 
 

 

22. Ujumbe unaotumiwa kwa kutumia tarakilishi na ambayo ni njia haraka sana ya mawasiliano huitwa

 

 
 
 
 

 

23 Ni sentensi ipi inayoonyesha ji ya hali?

 

 
 
 
 

 

24. Onyesha msemo unaoashiria maana ya kuvumilia uchungu.

 

 
 
 
 

 

25. Nyoka mwenye sumu si mwengine yeyote ila bafe. Maneno yaliyopigwa mistari yanaashiria
nini?

 

 
 
 
 

 

26. Shairi ambalo limegawanywa katika vipande viwili huitwa

 

 
 
 
 

 

27. Teua kiunganishi sahihi.
Moraa alipokwenda cheteni alinunua bidhaa tele mboga, Viazi vitamu, viungo vya upishi
na matunda.

 

 
 
 
 

 

28. Pindo na kona ya barabara ni

 

 
 
 
 

 

29. Pesa anazo tumia tutu kuanzisha biashara zinajulikana kama

 

 
 
 
 

 

30. Ni sayiri ipi ambayo ni ndogo kuliko zote zinazojulikana?

 

 
 
 
 

Soma taarifa ifuatavo kisha uiibu maswali vanavofuata 31 – 40.

Siasa ni nini? Siasa ni itikadi inayofuatwa na nchi. kundi au jamii fulani ambayo ni msingi wa kuendeshe uchumi, utamaduni na mwenendo mzima wa maisha ya nchi au jaii hiyo.

Wakenya wengi wamepotoka na kufikiria kuw siasa ni kufurahia vya bwerere kila baada ya miaka mitano uchaguzi mkuu unapotangazwa. Hawajui kwamba siasa i utaratibu mkuu mwafaka wa kutenda hususan mambo ya utawala kwa kaki namaadili yaf2ayo. Siasa bora chairabilecho rail wetu, ni maisha bora. Wakei:*7a, wakifuata siasa zilizokomaa bila shalortutafurahia matunda yake.

Matunda matamu ya siasa ni kama vile uimarishaji wa elimu, shughuli za afya, barabara nzuri, usalama na hali ya utulivu katika nchi. Kinyume ni cha haya, siasa mbaya huzusha uhasama. Umaskini na mchafuko wa., ,z.lishakwa jumla. Kwa Wakenya, hasatunapokaribia uchaguzi mkuu swali kuu ni hili, je tutawachagua viongozi .venye vipawa vya uongozi walielekeza jaha7i letu fanakani au tutahongwa na kuchagua mabwenyenye wafisadi atakaolizamisha jahazi letu?

Haki ya mwananchi katika siasa za nchi yake ni ipi? Bila shaka ni kuturnia kura yake kumchagua mwakilishi anayefaa iii kusaidi a kutunga sheria nzuri bungeni zitakazoongoza shughuli za kiuchumi, kisiasa na kijamii kwamanufaa ya Wakenya.

Jambo jingine muhimu wakati wa kampeni za uchaguzi ujao ni kudumisha amani na kutofuata viongozi wa vyama mbalimbali vya kisiasa. Watakaoibuka washindi wayashughulikie maslahi ya wananchi kabla ya mahitaji yao binafsi.

MASWALI.

31.Wananchi yafaa washiriki katika siasa za nchi yao

 
 
 
 

32.Wananchi wanaharibu siasa za nchi kwa

 
 
 
 

33.Kati ya mambo haya ni lipi lisilo tunda la siasa bora?

 
 
 
 

34.Jahazi lililotajwa katika ufahamu ni

 
 
 
 

35.komaa limetumiwa katika habari hii kwa maana ya

 
 
 
 

36.Mwakilishi wa wananchi katika serikali za mitaa huitwa

 
 
 
 

37.Mwakilishi wa wananchi katika serikali za mitaa huitwa

 
 
 
 

38.Wawakilishi wengine wa wananchi huwakosea sana kwa

 
 
 
 

39.Chagua sentensi sahihi kulingana na habari uliyosoma.

 
 
 
 

40.Kichwakinachofaa zaidi kwa habari hii ni

 
 
 
 

Soma taarifa ifuatavo kisha uiihu rnaswali 41 – 50.

 

Bingi Lulu alikuwa huralaini. Fauka ya hayo, alilelewa vyema kwa maadili maridhawa yaliyompendeza na kumfurahisha kila adinasi. Aidha alitunukiwa akili pevu na tambuzi iliyomwezesha kusoma hadi chuo kikuu na kupata shahada ya uzamifii.

Alitaalamika katika taaluma ya uhasibu akiwa na umri mdogo sana ukilinganishwa na wenzake wenye kiwango hicho cha elimu.

Pindi alipohitimu masomo yake, aliajiriwa kazi na shirika moja lisilo la kiserikali kwa mshahara wa donge nono. Urembo wake, elimu na kitita cha pesa vilifanya wanaume wengi kumkaratni a mithili ya kinamast jangwani wakiwa na lengo la kumchumbia. Maadamu Lulu hangeweza kukashifu maumbile akasalimu arnri. Alimwenzi mvuli mmoja amb aye alikuwa akifanya naye ingawa katika idara tofauti.

Usuhuba wao ulij engeka nakuWa na chanda na pete. Wakaonakwamba njiaya pekee ya lcufurahiaupeo.huu wa mapenzi ni kufunga pingu za maisha. Mshenga alipatikana na kuwaarifu wazazi wa wachumba kuhusu nia yao ya kufunga ndoa. Wazazi nao kutoka pande zote wakakubali bila ya pingamizi zozote. Juhudi za mshenga zikawakutanisha wavyele wa wachumba, mahari yakajadiliwa na kulipwa na hatimaye mikakati kabambe ya harusi ikaanza na ktishika kasi. Tabasamuzikajaa nyusoni pa wachumba.

Wall osema kwamba dunia ni duara, huzunguka kama pia, waligonga ndipo. Siku moj a mama Lulu alirnIcuta akil i a kwikvaikavi nakupiga kite, alipmdadisi, aliyoyasikia yalimwatua moyo. Lulu alimweleza mamaye kwamba mpenzi wake Tema, alimtaliki na kumchukuwa msichana mwingine. Tema aliona kwamba Lulu hampendi. kwa kutaka wangojee urasimuwandoa ambao ingechukua muda.

Mamaye Lulu alimliwaza nakutnfariji akamshauri amsahau mwanaume asiyeheshimu mkataba. Kweli uchungu wa niwana aujuaye ni mzazi, Lulu alizingatia mashauri ya mama yake. Alihama akaenda kufanya kazi ya kuwahudumi a watoto mayatima baada ya Tema kumtema Lulu alimwoa mpenzi mwengine. Hakurnjulia Lulu la hen wala la shari.

Lulu aliendelea kuchapa kazi. Hatimaye huko alipata ghulamu mmoja mtanashati aliyempenda akamwamini n a kumthamini. Walioana baada ya kujuana na kuchumbiana miaka mitatu wakaishi raha mustarehe. Yakini, Mola hamtupi mja wake.

41.alikuwa hurula.ini.”Ni fani gani ya lugha

iliyotumika hapa?

 
 
 
 

42.Lulu alikuwa banati wa aina gani?

 
 
 
 

43.Tunu iliyotunukiwa Lulu ilitoka kwanani?

 
 
 
 

44.Msenio –akasalimu amri” imetumika katikataarifa. Maana yake kulingana na habari ni

 
 
 
 

45.Mshenga hufanya kazi gani?

 
 
 
 

46.`tabasmuzikajaa nyusoni pa wachumba.’

Ni methali gani ambayo ingefaa zaidi kueleza maneno haya?

 
 
 
 

47.Chagua sentensi ambayo si sahihi kulingana na taarifa uliyoisoma.

 
 
 
 

48.Kulingana na taarifa, ni dhahiri shahiri kwamba Tema alikuwa kijana

 
 
 
 

49.Malipo ya kuolewa huitwa

 
 
 
 

50.Kwa nini Lulu aliomba uhamisho?

 
 
 
 

Question 1 of 50